Mkuu wa Idara ya Biashara ya kadi wa Benki ya NMB, Philbert Casmir, akizungumza na wafanyabiashara wa eneo la Buhongwa jijini Mwanza, wakati wa kuzindua kampeni ya Onja Unogewe kwa kanda ya Ziwa. Mgeni Rasmi katika Uzinduzi huu alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi