Home KITAIFA RAIS SAMIA ATEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA KIMBIGA FREDDY, BLANTYRE NCHINI MALAWI

RAIS SAMIA ATEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA KIMBIGA FREDDY, BLANTYRE NCHINI MALAWI

Google search engine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye eneo la Kapeni view point pamoja na Rais wa Malawi, Dk. Lazarus McCarthy Chakwera wakati walipokuwa wakiangalia maeneo hayo yaliyoathiriwa vibaya na kimbunga cha kitropiki cha Freddy, Blantyre nchini Malawi tarehe 7 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye eneo la Kapeni view point pamoja na Rais wa Malawi, Dk. Lazarus McCarthy Chakwera wakati wakiangalia Video inayoonesha  kuhusu maeneo yaliyoathiriwa vibaya na kimbunga cha kitropiki cha Freddy, Blantyre nchini Malawi tarehe 7 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye eneo la Kapeni view point pamoja na Rais wa Malawi, Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera wakati wakisikiliza maelezo kuhusu maeneo yaliyoathiriwa vibaya na kimbunga cha kitropiki cha Freddy, Blantyre nchini Malawi tarehe 7 Julai, 2023.
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here