Home MICHEZO HABARI PICHA: NMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KIKOSI 833 KJ CHA JKT-...

HABARI PICHA: NMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KIKOSI 833 KJ CHA JKT- OLJORO

Google search engine
Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa na Serikali wa Benki ya NMB, Alfred Shao akimkabidhi msaada wa vifaa vya michezo Mkuu wa Kikosi 833 cha JKT- OLJORO, Luteni Kanali – Victor Rutayuga Faustine leo Jijini Arusha, Kushoto ni Kaimu Meneja wa Kanda NMB- PrayGod Mphuru akishuhudia. Miongoni mwa vifaa vilivyokabidhiwa ni pamoja na jezi na mipira kwa timu za mpira wa miguu, kikapu, pete na riadha kwa wachezaji wa JKT.
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here