Home BIASHARA HABARI PICHA: BENKI YA NMB IVYONYAKUA TUZO YA TAASISI BORA KATIKA UWAJIBIKAJI...

HABARI PICHA: BENKI YA NMB IVYONYAKUA TUZO YA TAASISI BORA KATIKA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Google search engine
Kaimu Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Mahusiano wa Benki ya NMB, Vicent Mnyanyika (kushoto), akipokea tuzo ya taasis bora katika Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) kutoka kwa Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Maafisa Uhusiano na Mawasiliano Serikalini (TAGCO), Sarah Kibonde, wakati wa hafla ya utoaji tuzo za Umahiri zilizotolewa na Chama cha Maafisa Uhusiano wa Umma Tanzania (PRST) 2022 jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. (Na Mpiga Picha Wetu).
Kaimu Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Mahusiano wa Benki ya NMB, Vicent Mnyanyika (kushoto), akipokea tuzo ya  Afisa Uhusiano Bora 2022 kutoka kwa mmoja wa majaji wa tuzo hizo, Daniel Mshana, wakati wa hafla ya utoaji tuzo za Umahiri zilizotolewa na Chama cha Maafisa Uhusiano wa Umma Tanzania (PRST) jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. (Na Mpiga Picha Wetu).
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here