Home KITAIFA RAIS SAMIA: SERIKALI KUIMARISHA MAZINGIRA YA UCHIMBAJI MADINI

RAIS SAMIA: SERIKALI KUIMARISHA MAZINGIRA YA UCHIMBAJI MADINI

Google search engine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria uzinduzi wa Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde kuhusu Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo pamoja na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimkabidhi mfano wa Ufunguo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Dk. Venance Mwasse kwa ajili ya kuwakabidhi Wachimbaji wadogo Mitambo ya Uchorongaji kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuhusu Mitambo ya kupasua na kusaga mawe crasher kwa ajili ya Wachimbaji wadogo kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimkabidhi mfano wa Ufunguo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Dk. Venance Mwasse kwa ajili ya kuwakabidhi Wachimbaji wadogo Mitambo ya kupasua na kusagia mawe crasher kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiangalia Mkaa mbadala kwenye banda la Maonesho la Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) wakati akipita kukagua shughuli mbalimbali za wachimbaji wadogo wa Madini kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akikagua mabanda mbalimbali ya wachimbaji wadogo wa Madini kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiangalia vitu vya thamani kutoka kwenye banda mojawapo la wachimbaji wadogo Wanawake (WIMO) kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Shamrashamra katika uzinduzi wa Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Msanii Mrisho Mpoto akitumbuiza kwenye hafla ya uzinduzi wa Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) iliyofanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here