Home KITAIFA Viongozi wa G20 wanatarajia kufanya mkutano Srinagar mnamo Mei 22,2023

Viongozi wa G20 wanatarajia kufanya mkutano Srinagar mnamo Mei 22,2023

Google search engine

NEW Delhi Aprili 28

Mjumbe wa zamani wa Baraza la wawakilishi la Marekani anayetokea katika kisiwa cha Rhode na mwania uwakilishi katika uchaguzi ujao wa kiti cha Seneti mwaka Bob Lancia,ameachia Ujumbe wa video akielezea furaha yake kwa kualikwa kwenye mkutano wa G20 utakaofanyika Srinagar mnamo Mei 22,2023

Katika Ujumbe ghuo wa video hiyo Bob Lancia amesema “Jimbo la Jammu na Kashmir nchini India daima limekuwa na nafasi maalum katika moyo wangu. Na nimekuwa nikifuatilia kwa karibu matukio katika eneo hilo,Na nilifurahi kusikia habari kwamba Srinagar, mji mkuu wa Kashmir na Jammu, itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa G20, “alisema na kuongeza

“Ni matarajio ya kufurahisha kwamba ninatarajia kwa hamu hotuba ya Waziri Mkuu Modi.Ninaamini tukio hili litakuwa ni tukio muhimu katika historia ya eneo hili na litafungua njia ya amani na ustawi wa kudumu,Na inatia moyo kuona jumuiya ya kimataifa ikitambua uwezo wa Jammu na Kashmir na juhudi za serikali ya India kuendeleza eneo hilo,” aliongeza.

Aliongeza kuwa “Ni matumaini yangu kuwa kongamano hili litakuwa ni fursa kwa wadau wote kujumuika pamoja na kujadili njia za kukuza uchumi na maendeleo, kutengeneza fursa za ajira na kuboresha hali ya maisha ya wananchi katika mkoa huo,” alisema Lancia, juu ya matokeo yanayowezekana ya mkutano wa G20.

Aliongeza kuwa “Kwa kumalizia, nina uhakika kwamba Mkutano wa G20 huko Srinagar utakuwa wa mafanikio na hatua ya mabadiliko katika historia na maendeleo ya Jammu na Kashmir. Wacha sote tutegemee mustakabali mwema kwa eneo hili na watu wake, “alitia saini akisema.

Pia alitweet akisema kuwa kuna “tukio la Kusisimua linakuja India mwezi ujao”.

“Kuwa na Waziri Mkuu kutakuwa na mwangaza!” alitweet.

Alisema “Mkutano wa tatu wa Kikundi cha Kufanya Kazi cha Utalii cha G20 utafanyika Srinagar, India (Jammu & Kashmir) kuanzia Mei 22-24.ndiyo Utakuwa mkutano wa kwanza wa viongozi wa kimataifa katika kanda hiyo .

“Waziri Mkuu Modi anafanya kazi kwa bidii kusukuma amani, utalii wa kimataifa na maendeleo kwa serikali, “aliandika zaidi.

Jukwaa linatayarishwa kwa mkutano wa kwanza wa aina yake wa kimataifa wa kikundi kazi cha utalii G20 chini ya urais wa India katika mji mkuu wa Jammu na Kashmir, Srinagar, mnamo Mei 24-26.huku miradi iliyopewa kipaumbele kwa hafla hiyo kuu ikiwa katika hatua za mwisho.

Kwa mara ya kwanza tangu kufutwa kwa Ibara za 370 na 35-A, Eneo la Muungano litakuwa linaandaa hafla ya kimataifa ambapo wajumbe kutoka nchi wanachama wa G20, nchi wageni na mashirika kadhaa ya kimataifa watashiriki.

Viongozi wa G20 wanatarajia kufanya mkutano huko Srinagar mnamo Mei 22

Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here