Home KITAIFA HABARI PICHA: Benki ya NMB ilivyoshiriki wiki ya Sheria Jijini Dodoma

HABARI PICHA: Benki ya NMB ilivyoshiriki wiki ya Sheria Jijini Dodoma

Google search engine
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dk. Eliezer Feleshi (kushoto) akisalimiana na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kati, Nsolo Mlonzi (kulia) wakati wa kilele cha wiki ya sheria iliyofanyika kitaifa jijini Dodoma.
Rais wa chama cha wanasheria Tanzania (TLS), Dk. Edward Hosea (kushoto) akisalimiana na meneja wa Benki ya NMB Kanda ya kati, Nsolo Mlonzi (kulia) wakati wa kilele cha wiki ya sheria iliyofanyika kitaifa jijini Dodoma
Google search engine

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here