Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dk. Eliezer Feleshi (kushoto) akisalimiana na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kati, Nsolo Mlonzi (kulia) wakati wa kilele cha wiki ya sheria iliyofanyika kitaifa jijini Dodoma.Rais wa chama cha wanasheria Tanzania (TLS), Dk. Edward Hosea (kushoto) akisalimiana na meneja wa Benki ya NMB Kanda ya kati, Nsolo Mlonzi (kulia) wakati wa kilele cha wiki ya sheria iliyofanyika kitaifa jijini Dodoma